Diamond Platnumz - Nawaza - Lyrics & Music

Share:
SongNawaza
Artist: Diamond Platnumz
Album: First Of All
Release Year: 2022
Genres: Afrobeats


(Video credit: YouTube)

Listen to this lovely song at your leisure. The ambiance is wonderful. 
Check it out for yourself, and don't forget to read the lyrics underneath. 
Browse through the blog for more........

"Nawaza" - Song Lyrics

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu

Nawaza pru mpaka makha ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sjui nini angesema
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndio anakuombea ukilema, nashangaa
Nawaza vanny na Elizabeth, clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti, au ndio ataivunja
Nawaza muchana, usiku jibu halifiki
Wanaonitukana tunabeef au ilimradi kiki
Nawaza hawa kina kimambi bwana
Wangekuwa wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana
Si wangenizima sisikiki
Nilowaza leo nishawaza sana,
Mi na Kiba ugomvi kipi
Nikagundua ni ushamba na ujana
Wakugombania mashabiki

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu

Ooh nawaza
Huenda steven kanumba angelikuepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaza hivi kombe la dunia hatufikagi why?
Nawaza tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache
Yataleta ukakasi
Je angekuepo mzee nyange
Uncle shamte angepata nafasi
Nawaza ka ningekua na wema sepetu hadi leo
Sjui ningekua nishafulia ama zaidi maendeleo
Ooh nawaza siku nikifa sjui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza ooh, mama dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka
Nilowaza leo nishawaza sana
Ninachoshindwa kuoa kipi
Nikagundua naepusha lawama
Maana najijua kwa kucheat

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu

Credit lyric source : Musixmatch

Credits to:
Artist: Diamond Platnumz